Mahiga amefurahi sana kwa hatua ya kihistoria ya kuhamisha ofisi yake Somalia
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Balozi Augustine Mahiga amesema Alhamisi kuwa amefurahi sana kufanikiwa kuhamisha ofisi yake kutoka mjini Nairobi Kenya na kuiweka mjini Moghadishu Somalia.