Nchi nyingi masikini hazijapa suluhu ya malaria
Wakati ulimwengu umeadhimisha siku ya Malaria bado nchi hasa zilizo maskini hazijapata suluhu kamili na njia mwafaka za kupambana na kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Malaria.
Wakati ulimwengu umeadhimisha siku ya Malaria bado nchi hasa zilizo maskini hazijapata suluhu kamili na njia mwafaka za kupambana na kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Malaria.
Caroline Khamati Mugalla ni afisa kutoka shirika la muungano wa wafanyakazi Afrika Mashariki amehudhuria mkutano wa UNCTAD unaoendelea nchini Qatar, Doha. Amepata kuzungumza na afisa kutoka redio ya Umoja wa Mataifa na alikuwa na haya ya kusema...
(MAHOJIANO YA CAROLINE MUGALLA)
Umoja wa Mataifa, ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa na wanaharakati mbalimbali wa kupigania haki ikiwa ni pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali wameendelea kupaza sauti wakizitaka serikali duniani kutambua na kuheshimu haki za wanawake na wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja
Leo ni siku ya afya duniani, Umoja wa Mataifa waungana na dunia kuadhimisha siku hii ambayo kwa mwaka huu inajikita kupiga darubini masuala ya afya na uzee.