Msafara wa watu wanaorejea nyumbani umekwama katikati ya mapigano Sudan Kusini:IOM
Shirika la wahamiaji la IOM limesema msafara wa magari yanayosafirisha raia wa Sudan Kusini wanaorejea nyumbani kutoka Sudan Kaskazini umekwama katikati ya mapigano kati ya waasi na majeshi ya Sudan Kusini.