Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Neno la wiki- Elfu au Alfu?

Neno la wiki- Elfu au Alfu?

Katika neno la wiki tunachambua maneno alfu na elfu, mchambuzi wetu leo ni, Nuhu Zuberi Bakari ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa Maswala ya Mawasiliano kwenye Chama cha  Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA. Anasema kwamba tofauti ya matamshi ya maneno haya unatokana na uzito wa ndimi na ndiposa Kenya wanatumia elfu na Tanzania ni alfu.