Athari za ghasia Sudan Kusini kwa familia moja
Kufuatia ghasia zinazoendelea Sudani Kusini wanawake na watoto ndio wanaoathirika pakubwa na hivyo kumomonyoa familia kwa ujumla.
Katika makala ifuatayo Grace Kaneiya anamulika kisa cha mtoto ambaye mama yake aliuliwa. Ni kisa chenye simanzi na kusisimua. Ungana naye.