Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukatili wa kijinsia wamulikwa nchini Tanzania

Ukatili wa kijinsia wamulikwa nchini Tanzania

Hatimaye siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizoanza tarehe 25 mwezi uliopita, zimehitimishwa wiki hii ya tarehe 11 Disemba. Katika kipindi hicho harakati mbali mbali zilitekelezwa kupazia sauti mbinu za kutokomeza ukatili wa kijinsia, majumbani, sehemu za kazi, shuleni na kwingineko ili dunia pawe sehemu bora ya ustawi kwa kila mtu bila kujali  jinsi yake. Je nchini Tanzania hali iko vipi? Tuungane na Anthony Joseph wa Radio washirika WAPO FM kutokaDar es salaam,Tanzania.

 (PCKG MAKALA YA ANTHONY JOSEPH)