Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya usalama bado ni tete CAR; Mia Farrow ashuhudia

Hali ya usalama bado ni tete CAR; Mia Farrow ashuhudia

Huko Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR, hali ya usalama inazorota lakini juhudi za Umoja wa Mataifa zinaendelea ili kusaidia waathirika wa mgogoro unaondelea nchini humo.

Juhudi za hivi karibuni zaidi ni ziara ya balozi mwema wa shirika la Umoja UNICEF Mia Farrow aliyefika CAR kuanagalia athari za mgogoro. Ungana Na Joseph Msami katika makala inayongazia ziara yake.