Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yapigia chapuo afya ya mama na mtoto India

UNICEF yapigia chapuo afya ya mama na mtoto India

Shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF kwa kushirikiana na serikalai ya India linasaidia kuinua sekta ya afya nchini humo hususani kwa kina mama na watoto. UNICEF imewekeza katika raslimali watu na vifaa  na kuleta mabadiliko makubwa.

Joseph Msami anafafanua vyema katika makal ifuatayo.