Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tanzania yapiga hatua kudhibiti vifo vya wajawazito

Tanzania yapiga hatua kudhibiti vifo vya wajawazito

Utekelezaji wa malengo ya maendeleo ya milenia, MDGS ni moja ya agenda muhimu wakati mkutano wa 68 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa uanotarajiwa kuanza mnamo September 23 mwaka huu mjiniNew York.

Ungana na Tamimu Adam kutoka radio washirika , Jogoo Fm mkoani Ruvuma katika makala inayoangazia namna utekelezaji wa lengo la tano la kupunguza vifo vya wajawazito lilivyotekelezwa nchiniTanzaniakatika mkoa waRuvuma.