Somalia yaungana kutokomeza vikundi hatarishi
Siku chache baada ya kushuhudiwa milipuko ya mabomu nchiniSomalia, bado matumaini ya kupambana na vikundi vyenye misimamo mikali na uhusiano na ugaidi yapo nchini humo.
Ripoti yua Joseph Msami inamulika juhudi za nchi hiyo katika kusaidia kumaliza chuki na uhasama huo uliogharimu taifa ahilo kwa miongo kadhaa. Ungana naye.