Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Somalia yaungana kutokomeza vikundi hatarishi

Somalia yaungana kutokomeza vikundi hatarishi

Siku chache baada ya kushuhudiwa milipuko ya mabomu nchiniSomalia, bado matumaini ya kupambana na vikundi vyenye misimamo mikali na uhusiano na ugaidi yapo nchini humo.

Ripoti yua Joseph Msami inamulika juhudi za nchi hiyo katika kusaidia kumaliza chuki na uhasama huo uliogharimu taifa ahilo kwa miongo kadhaa. Ungana naye.