Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Adha za wakimbizi wa Syria zamulikwa

Adha za wakimbizi wa Syria zamulikwa

Wakuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, jana kwa pamoja wamezipazia sauti pande zote katika mzozo wa Syria na serikali zenye ushawishi zifanye kila ziwezalo kuwaokoa watu wa Syria kutokana na watu wa Syria na ukanda mzima kutokana na baa la vita. Licha ya kuanisha msaada badounahitajika lakini wamesisitiza pande zinazozozana kuyaacaha mapigano hima.

Ungana na Joseph Msami anayengazia hali mbaya za wakimbizi wa Syria waliojko nchini Uturuki wakitafuta hifadhi