Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Idadi ya wakimbizi wa Syria wanaoingia Jordan yaongezeka: IOM

Idadi ya wakimbizi wa Syria wanaoingia Jordan yaongezeka: IOM

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM  limesema kuwa wakimbizi wanaokimbia machafuko Syria kuelekea Jordan wanaendelea kuongezeka.  Jumbe Omar Jumbe, ambae ni msemaji wa IOM, amezungumza na Radio ya Umoja wa Mataifa kuhusu suala hilo.