Idadi ya wakimbizi wa Syria wanaoingia Jordan yaongezeka: IOM
Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limesema kuwa wakimbizi wanaokimbia machafuko Syria kuelekea Jordan wanaendelea kuongezeka. Jumbe Omar Jumbe, ambae ni msemaji wa IOM, amezungumza na Radio ya Umoja wa Mataifa kuhusu suala hilo.