Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa uvuvi barani Afrika wakutana Tanzania kujadilia sekta hiyo

Wataalamu wa uvuvi barani Afrika wakutana Tanzania kujadilia sekta hiyo

Wataalamu kutoka sehemu mbalimbali barani afrika wameanza mkutano wao wa siku nne jijini dar es salaam nchini Tanzania kujadilia kile kinachoitwa uchumi wa uvuvi wa samaki ambao unaripotiwa kukua kwa kasi lakini ukiandamwa changamoto ya kushamiri kwa uvuvi haramu.

Kutoka DSM, George Njogopa ameandaa taarifa ifutayo inayoangazia mkutano huo ambao pia umejuisha wataalamu kutoka nchi za Ulaya.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)