Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa kimatafia wanajiandaa kubuni viashirio vipya juu ya mifumko ya ukame duniani

Wataalamu wa kimatafia wanajiandaa kubuni viashirio vipya juu ya mifumko ya ukame duniani

Kuhusu athari za mabadiliko ya hali ya hewa zilizoshuhudiwa kutukia ulimwenguni mnamo miaka ya karibuni, Shirika la UM juu ya Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani, (WMO), limebashiria kutatukia muongezeko mkubwa wa marudio ya ukame mkali, katika sehemu mbalimbali za dunia katika miaka ijayo.