Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mjumbe Maalumu wa KM Kudhibiti Malaria apongeza mchango wa UNICEF kuhudumia vyandarua vya dawa Afrika

Mjumbe Maalumu wa KM Kudhibiti Malaria apongeza mchango wa UNICEF kuhudumia vyandarua vya dawa Afrika

Ray Chambers, Mjumbe Maalumu wa KM Kudhibiti Malaria, ameripotiwa kupongeza mchango wa UNICEF ambapo msaada wa dola milioni 8.5 ulitengwa makhsusi kuhudumia ugawaji wa vyandarua vilivyonyunyiziwa dawa ya kuua vijidudu, katika mataifa ya Afrika yaliopo kusini ya Sahara.