Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kesi ya Bemba itaanzishwa rasmi Aprili 2010 mjini Hague: ICC

Kesi ya Bemba itaanzishwa rasmi Aprili 2010 mjini Hague: ICC

Mahakama ya Kimataifa juu ya Makosa ya Jinai ya Halaiki (ICC) imetangaza kwesi ya Jean-Pierre Bemba itaanza kusikilizwa rasmi mwezi Aprili mwaka 2010.