Bagaragaza ahukumiwa kifungo cha miaka minane na ICTR kwa jinai ya halaiki Rwanda
Mahakama ya UM juu ya Rwanda (ICTR) imehukumu kifungo cha miaka minane kwa mtuhumiwa Michel Bagaragaza, aliyekuwa mfanya biashara mkuu katika Rwanda, kwa kushiriki kwenye mauaji ya halaiki yaliotukia nchini mwao katika 1994.