Mjadala wa BK juu ya uchunguzi wa mashambulio ya Tarafa ya Ghaza waingia siku ya pili
Ijumatano Baraza Kuu (BK) la UM lilianzisha majadiliano maalumu kuhusu ripoti ya uchunguzi wa UM, uliofichua vikosi vya Israel pamoja na wapiganaji wa KiFalastina, walipatikana na hatia ya kukiuka haki za kibinadamu wakati wa mashambulio ya katika eneo liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza mapema mwaka huu.