Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNAMID imehadharisha, mapigano huenda yakafufuka tena Darfur Kazkazini

UNAMID imehadharisha, mapigano huenda yakafufuka tena Darfur Kazkazini

Kadhalika, Shirika la UNAMID limeelezea wasiwasi mkubwa kuhusu muongezeko wa vikosi vya Serikali ya Sudan na waasi wa kundi la SLA la Abdul Wahid katika maeneo ya Sortony na Kabkabiya, yaliopo Darfur Kaskazini, vitendo ambavyo vilishuhudiwa, kihakika, na waangalizi wanajeshi wa UNAMID.