Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

OCHA inasema haki za binadamu zinaendelea kuharamishwa na makundi yanayohasimiana katika JKK

OCHA inasema haki za binadamu zinaendelea kuharamishwa na makundi yanayohasimiana katika JKK

Elizabeth Byrs, Msemaji wa Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) leo aliwaambia waandishi habari mjini Geneva kwamba taasisi yao inalaani ukiukaji wa haki za binadamu, unaoendelezwa na makundi yanayohasmiana katika JKK.