Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bukini imeomba vikwazo vilioekewa na jumuiya ya kimataifa viondoshwe

Bukini imeomba vikwazo vilioekewa na jumuiya ya kimataifa viondoshwe

Kadhalika, Ijumanne, kwenye mji wa Antananarivo, Bukini, Mjumbe Maalumu wa UM, Tiebile Drame, alitangaza taarifa rasmi ya kutoka Kundi la Mawasiliano la Kimataifa juu ya Bukini ilioeleza kuwa inaunga mkono ombi la Serikali ya Bukini la kutaka vikwazo vilioekewa taifa hilo viondoshwe.