Sudan mashariki inaendelea kupokea wahamiaji wa kutoka Eritrea/Ethiopia na Usomali
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limetoa taarifa ya tahadhari, yenye kueleza kwamba miaka 40 baada ya operesheni zake kuanzishwa katika eneo la Sudan mashariki hakuna dalili wahamiaji wapo tayari kurejea, kwa khiyari, makwao.