Kesi ya waziri aliyetuhumiwa makosa ya jinai ya halaiki Rwanda yaanza kusikilizwa na ICTR
Kesi ya aliyekuwa Waziri wa Mipango ya Maendeleo katika Rwanda, yaani Augustin Ngirabatware, imeanza kusikilizwa rasmi leo Ijumatano kwenye Mahakama ya Kimataifa juu ya Rwanda (ICTR).