Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

VVU/UKIMWI vinahatarisha usalama na amani ya kimataifa

VVU/UKIMWI vinahatarisha usalama na amani ya kimataifa

Ripoti mpya iliotolewa bia leo hii na Baraza la Utafiti wa Sayansi ya Jamii, New York, Marekani pamoja na Tassisi ya Clingendael juu ya Uhusiano wa Kimataifa iliopo mji wa Hague, Uholanzi imethibitisha hatari anuwai ya virusi vya UKIMWI katika usalama na amani ya kitaifa na kimataifa.