Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Upungufu wa fedha utailazimisha WFP kupunguza chakula kwa wahitaji Kenya

Upungufu wa fedha utailazimisha WFP kupunguza chakula kwa wahitaji Kenya

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeripoti kwamba kwa sababu ya upungufu wa misaada ya fedha kutoka wahisani wa kimataifa, litalazimika kupunguza posho ya chakula wanaofadhiliwa mamilioni ya raia wanaohitajia misaada ya dharura ya chakula nchini Kenya,