Taarifa za marekibisho kuhusu A/H1N1 kuchapishwa kila Ijumaa na WHO
Paul Garwood, msemaji wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameripoti leo kutoka Geneva kwamba kuanzia wiki hii taarifa mpya kuhusu hali ya maambukizi ya homa ya mafua ya A/H1N1 ulimwenguni itakuwa inachapishwa kila Ijumaa kwenye mtandao wa WHO.