Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

'Wahamiaji waliorejea Sudan kusini wakabiliwa na matatizo magumu makwao': IMO

'Wahamiaji waliorejea Sudan kusini wakabiliwa na matatizo magumu makwao': IMO

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM), ambalo ni miongoni mwa jumuiya za kimataifa zinazoshirikiana kikazi kwa ukaribu zaidi na UM, limewasilisha ripoti mpya iliotolewa Geneva hii leo, inayozingatia hali ya wahamiaji wa ndani ya nchi pamoja na wahamaji wazalendo waliorejea Sudan Kusini kutoka mataifa jirani na kutoka nje.