Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNAMID imeanzisha kitengo maalumu kuchunguza unyanyasaji wa kijinsiya Darfur

UNAMID imeanzisha kitengo maalumu kuchunguza unyanyasaji wa kijinsiya Darfur

Shirika la UM-UA juu ya Ulinzi Amani kwa Darfur (UNAMID) limeripotiwa kuanzisha kitengo maalumu cha polisi kwa makusudio ya kufanya uchunguzi na kudhibiti makosa ya jinai yanayohusika na matumizi ya nguvu na unyanyasaji dhidi ya wanawake, tatizo ambalo linaripotiwa limeselelea kwa wingi katika eneo la Sudan magharibi la Darfur.