Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maelfu ya raia wang'olewa makazi na mapigano Kivu Kaskazini

Maelfu ya raia wang'olewa makazi na mapigano Kivu Kaskazini

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti hali ya machafuko yaliozuka karibuni kwenye Jimbo la Kivu Kusini, katika sehemu ya mashariki ya JKK imesababisha watu 35,000 kung\'olewa makazi, hasa kwenye lile eneo la uwanda tambarare la Mto Ruzizi, ambapo JKK hupakana na nchi jirani za Burundi na Rwanda.