5 Juni 2009
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti idadi ya raia waliolazimika kuyahama makazi katika mji wa Mogadishu, tangu mapigano kuanza mnamo tarehe 08 Machi (2009), imekiuka watu 96,000 kwa sasa.
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti idadi ya raia waliolazimika kuyahama makazi katika mji wa Mogadishu, tangu mapigano kuanza mnamo tarehe 08 Machi (2009), imekiuka watu 96,000 kwa sasa.