Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhamisho wa raia Usomali unaendelea kukithiri wakati mapigano yakishtadi

Uhamisho wa raia Usomali unaendelea kukithiri wakati mapigano yakishtadi

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti idadi ya raia waliolazimika kuyahama makazi katika mji wa Mogadishu, tangu mapigano kuanza mnamo tarehe 08 Machi (2009), imekiuka watu 96,000 kwa sasa.