Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNFCCC imeripoti maendeleo kwenye majadiliano kuhusu udhibiti wa mabadiliko ya hali ya hewa duniani

UNFCCC imeripoti maendeleo kwenye majadiliano kuhusu udhibiti wa mabadiliko ya hali ya hewa duniani

Taasisi ya UM ya juu ya Utendaji wa Mkataba wa Kudhibiti Mabadiliko ya Hali ya Hewa Duniani (UNFCCC) imetoa ripoti rasmi, ya kurasa 53, yenye mapendekezo kadha wa kadha, ya kuzingatiwa na kutekelezwa na mataifa yote wanachama, ikijumlisha mataifa tajiri na maskini, ili kudhibiti bora taathira haribifu zinazochochewa na hali ya hewa isio ya kikawaida wakati nchi wanachama zitakapokutana Copenhagen, baada ya siku 200 zijazo.