Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wajumbe wa nchi 30 ziada wakutana Beijing kuzingatia tiba ya TB sugu

Wajumbe wa nchi 30 ziada wakutana Beijing kuzingatia tiba ya TB sugu

Mawaziri wa afya pamoja na wajumbe wa kutoka nchi 30 ziada wameanza kikao cha siku tatu mjini Beijing, Uchina kuzingatia namna ya kukabiliana na tatizo la kuemewa na maradhi sugu ya kifua kikuu yasiokubali dawa.