KM anasema ni lazima dunia kufanya kazi pamoja kutumia maji kwa busara
KM wa UM Ban Ki-moon amesisitisza umuhimu wa maji kama nguvu za kungana pamoja kuliko kiungo cha mizozo, akihimiza kwamba mustakbala wa pamoja wa dunia unategemea jinsi inavyosimamia rasilmali yake hii tunu.