Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM yaadhimisha Siku ya Utabiri wa Hali ya Hewa

UM yaadhimisha Siku ya Utabiri wa Hali ya Hewa

Ikiadhimisha siku ya Utabiri wa Hali ya Hewa Duniani leo Jumatatu, Idara ya UM ya kutabiri hali ya hewa WMO, inazingatia juu ya uchafuzi wa hewa duniani, kutokana na takwimu kwamba, kiasi ya watu milioni mbili duniani hufariki mapema kutokana na hewa chafu kila mwaka.