Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mpango wa dola milioni 18 UM kusaidia mataifa matano kupunguza gesi za sumu

Mpango wa dola milioni 18 UM kusaidia mataifa matano kupunguza gesi za sumu

Mataifa matano ya Afrika, Asia na Amerika ya Kati yatapokea jumla ya dola milioni 18 kutoka mradi mmoja wa majaribiyo wa UM wenye lengo la kupunguza gesi za sumu za greenhouse kutoka misitu na kuimarisha hali ya maisha ya wakazi.