KM asihi UA juu ya umuhimu wa mioundombinu kuimarisha maendeleo
Ifuatayo ni taarifa fupi juu ya risala ya KM Ban Ki-moon, alioiwasilisha mbele ya viongozi waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Afrika unaofanyika sasa hivi katika mji wa Addis Ababa, Ethiopia.