Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makundi yanayohasimiana Sudan Kusini yaombwa yasimamishe mapigano, haraka

Makundi yanayohasimiana Sudan Kusini yaombwa yasimamishe mapigano, haraka

KM Ban ametoa mwito maalumu kwa Serikali ya Sudan na kundi la waasi la JEM kusimamisha, halan, shughuli zote za mapigano katika Darfur Kusini, na kuonya juu ya hatari inayoletwa na mapambano yao, kuhusu usalama wa raia. UM umepokea taarifa zenye kuonyesha kuwepo muongezeko wa vikosi vya Serikali na waasi kwenye eneo la karibu na Muhajeria, Sudan Kusini.