21 Januari 2009
Taarifa iliotolewa bia leo hii na mashirika mawili ya UM yanayohudumia maendeleo ya watoto, yaani UNICEF, na afya duniani, yaani WHO, imepongeza msaada wa dola milioni 9.7 waliopokea kutoka Waqf wa Bill na Melinda Gates, kwa makusudio ya kuimarisha utafiti wa kutengeneza dawa zitakazotumiwa makhsusi, na kwa urahisi, na watoto wadogo chini ya umri wa miaka kumi na tano.