Matokeo ya Mkutano wa Doha yamvunja moyo Mtaalamu wa Haki za Binadamu
Dktr Cephas Lumina, Mkariri Mtaalamu Huru wa UM anayezingatia masuala ya haki za binadamu na athari za madeni, ametoa taarifa ilioangaza matoeko ya Mkutano Mkuu wa Kimataifa juu ya Ugharamiaji wa Misaada ya Maendeleo, uliomalizika mwanzo wa wiki kwenye mji wa Doha, Qatar.