Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dola milioni 17.5 zahitajika na UNICEF kuhudumia jamii Zimbabwe

Dola milioni 17.5 zahitajika na UNICEF kuhudumia jamii Zimbabwe

Wakati huo huo, Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetangaza ombi la kutaka lifadhiliwe dola milioni 17.5 kukidhi mahitaji ya dharura ya kudhibiti miripuko ya kipindupindu Zimbabwe katika kipindi cha siku 120 zijazo.