Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wasiwasi umepamba mazingira ya kambi za wahamiaji katika JKK, UNHCR yaripoti

Wasiwasi umepamba mazingira ya kambi za wahamiaji katika JKK, UNHCR yaripoti

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti kuingiwa wasiwasi kuhusu usalama wa kambi za wahamiaji wa ndani, zinazosimamiwa na UM, katika eneo la kaskazini ya mji wa Goma, katika JKK.