22 Oktoba 2008
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) imeripoti kwamba kuanzia wiki ijayo maofisa wa kimataifa kutoka serikali 120 ziada watakutana mjini Roma, Utaliana kujadiliana kama aina [mbili] za kemikali zinazotumiwa hivi sasa ulimwenguni ziingizwe kwenye ile orodha inayojulikana kama Orodha ya PIC.