Kemikali tatu zazingatiwa kuchungwa kimataifa
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) imeripoti kwamba kuanzia wiki ijayo maofisa wa kimataifa kutoka serikali 120 ziada watakutana mjini Roma, Utaliana kujadiliana kama aina [mbili] za kemikali zinazotumiwa hivi sasa ulimwenguni ziingizwe kwenye ile orodha inayojulikana kama Orodha ya PIC.