Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kemikali tatu zazingatiwa kuchungwa kimataifa

Kemikali tatu zazingatiwa kuchungwa kimataifa

Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) imeripoti kwamba kuanzia wiki ijayo maofisa wa kimataifa kutoka serikali 120 ziada watakutana mjini Roma, Utaliana kujadiliana kama aina [mbili] za kemikali zinazotumiwa hivi sasa ulimwenguni ziingizwe kwenye ile orodha inayojulikana kama Orodha ya PIC.