Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kamati ya Habari inakutana Makao Makuu kwenye kikao cha mwaka

Kamati ya Habari inakutana Makao Makuu kwenye kikao cha mwaka

Kamati ya Baraza Kuu juu ya Masuala ya Habari ilianza mijadala ya mwaka mapema wiki hii katika Makao Makuu ya UM. Naibu KM kuhusu Mawasiliano na Habari kwa Umma, Kiyo Akasaka aliwaambia wajumbe wa Kamati kwamba UM unatakiwa kupatiwa ushirikiano mzuri zaidi, na wa kutegemewa, kutoka Mataifa Wanachama, ili tuweze kuhakikisha “tunatekeleza, kama ipasavyo, marekibisho yenye natija kwa umma wa kimataifa.”