Moto umeharibu kambi za wahamiaji wa Darfur katika Chad mashariki
Kambi ya Goz Amer iliopo Chad mashariki, kilomita 70 kutoka Darfur, Sudan, Ijumaa ilivamiwa na moto ulioteketekeza vibanda viliotengenezewa vijiti na matope, makazi ya muda kwa wahamiaji wa Darfur 3,000.