Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taasisi za kimataifa na ECOSOC zinazingatia Makubaliano ya Monterrey

Taasisi za kimataifa na ECOSOC zinazingatia Makubaliano ya Monterrey

Baraza la UM juu ya Maendeleo ya Uchumi na Jamii (ECOSOC) ikijumuika na taasisi za Bretton Woods – yaani Benki Kuu ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani (IMF) – na ikichanganyika pia na Shirika la UM juu ya Biashara na Maendeleo (UNCTAD) na Shirika la Biashara Ulimwenguni (WTO) leo wamefanyisha hapa Makao Makuu kikao cha siku, cha hadhi ya juu kujadiliana ushirikiano wa kuchukuliwa na Mataifa Wanachama, kuyatekeleza Makubaliano ya Monterrey, kwa taratibu zitakazodhibiti bora miradi ya maendeleo duniani.