Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto waliotoroshwa Chad kurejeswha kwa aila zao

Watoto waliotoroshwa Chad kurejeswha kwa aila zao

Watoto 100 ziada, wingi wao wakiwa raia wa Chad, ambao miezi mitano iliopita walitaka kutoroshwa na kupelekwa nje na shirika wahisani la Kifaransa la Zoe’s Ark, wanatazamiwa kurejeshwa kwa wazee wao mnamo siku za karibuni.