Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uchambuzi wa Mjumbe wa Kenya juu ya kikao cha 51 cha CSW

Uchambuzi wa Mjumbe wa Kenya juu ya kikao cha 51 cha CSW

Kamisheni ya UM juu ya Haki za Wanawake (CSW)ilikamilisha kikao cha mwaka cha wiki mbili hivi karibuni ambapo maelfu ya wajumbe wa kiserekali na mashirika ya kiraia walijumuika kuzungumzia taratibu za kuchukuliwa kipamoja, ili kuharakisha utekelezaji wa maazimio na mikataba iliopitishwa siku za nyuma iliokuwa na makusudio ya kuliziba pengo la tofauti za kijinsia.

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.