Mshoni wa Zambia kutunikwa zawadi ya UM kwa kupiga vita UKIMWI
Jonsen Habachimba, mshoni kutoka Zambia pamoja na shirika linalojulikana kama Jumuiya ya Maendeleo ya Vijiji ya Mboole (Mboole Rural Development) wametunukiwa zawadi ya dola 20,000, ikiwa ni tunzo la awali la UM kwa mashirika ya kiraia yanayojitolea kushiriki kwenye juhudi muhimu za kupambana na UKIMWI.