Mkutano wa kudhibiti athari za maafa wapendekeza vifo vipunguzwe kwa nusu 2015
Mkutano wa Kimataifa Kupunguza Hatari Inayoletwa na Maafa umemalizika mjini Geneva leo Ijumaa, ambapo kulitolewa mwito maalumu unaowataka viongozi wa kisiasa katika Mataifa Wanachama kuchukua hatua za dharura kupunguza, angalaukwa nusu idadi ya vifo vinavyosababishwa na maafa ya kimaumbile itakapofika 2015, .